Nafasi Ya Matangazo

October 23, 2014

Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina ya siku moja kwa wajumbe wa idara ya utumishi wa walimu kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara iliyofanyika mkoani Morogoro leo Alhamisi Oktoba 23, 2014
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina ya siku moja kwa wajumbe wa idara ya utumishi wa walimu kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara iliyofanyika mkoani Morogoro leo Alhamisi Oktoba 23, 2014
Mjumbe wa semina ya siku moja iliyoandaliwa na Mfuko wa Pensehni wa PSPF, kwa wajumbe wa idara ya utumishi wa walimu kutoka mikoa yote ya Tanzania Bara, akisoma kipeperushi chenye maelezo ya kina ya huduma zitolewazo na mfuko huo, wakati wa semina
Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Adam Mayingu, akisalimiana na baadhi ya wachezaji wa timu ya Polisi Morogoro, Jumatano Oktoba 22, 2014, wakati wa chakula cha jioni kilichoandaliwa na Mfuko huo kwa wachezaji hao na wajumbe wa idara ya utumishi wa walimu, wanaohudhuria semina ya siku moja iliyuoandaliwa na Mfuko huo Mkoani Morogoro, Alhamisi Oktoba 23, 2014
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Neema Muro, akiwasalimia wajumbe wa semina wakati wa chakula cha usiku kilichoandaliwa na PSPF.
Meneja Masoko na Mawasiliano wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Constatina Martin, akiimba sambamba na Msanii Mrisho Mpoto almaarufu kama Mjomba, wakati wa chakula cha usiku kilichoandaliwa na Mfuko huo Jumatano Oktoba 22, 2014, kwa wajumbe wa idara ya utumishi wa walimu, wanaohudhuria semina ya siku moja iliyoandaliwa na PSPF mkoani Morogor. 
Picha zaidi bofya KIDEVU MATUKIO 
Posted by MROKI On Thursday, October 23, 2014 No comments

0 comments:

Post a Comment

  • Facebook
  • Twitter
  • Youtube

Labels

Blog Archive

Nafasi Ya Matangazo